MIKOPO Hutolewa kwa Wanachama na Vikundi Wanachama Pekee

HUDUMA KUU YA CHAMA NI MIKOPO

Lengo Kuu la Mkopo ni kumwezesha mwanachama kupata Ustawi wa Kiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni.

Utaratibu wa Mikopo

  1. Mikopo hutolewa kwa kigezo kisichozidi mara 3 ya Akiba ya mwanachama
  2. Mikopo hutolewa kwa wanachama (ikiwemo vikundi wanachama) waliotimiza vigezo pekee
  3. Chama hutoa msamaha wa Riba kwa muda wa mwezi 1 kama motiasha

Aina za Mikopo

Mkopo wa Dharura. (Hii ni Mikopo ya Muda Mfupi - Mwezi 1)

Mikopo ya Uzalishaji & Kijamii. (Hii ni Mikopo ya Muda mrefu - Mwaka 1 hadi 2)

  1. Biashara
  2. Elimu
  3. Kilimo
  4. Ufugaji
  5. Ujenzi
  6. Mikopo maalumu kwa Wajane
  7. Mikopo ya Vikundi

Maombi ya Mikopo, Kiwango, Ada & Tozo

  1. Mkopaji atatakiwa kununua fomu ya Mkopo pamoja na kulipia gharana za Bima
  2. Fomu za Mikopo zinapatika Ofisini (UVIMA SACCOS) au katika tovuti yetu ya www.uvimasaccos.org
  3. Kiwango Cha juu Cha Mkopo ni 20,000,000
  4. Riba kwa Mkopo wa Dharura 5%
  5. Riba Mikopo ya Muda mrefu ni 1.5% kwa mwezi

Elimu ndio Urithi pekee kwa Mwanao

Somesha watoto Hadi Nje ya Nchi kwa kupitia Mkopo toka UVIMA SACCOS LTD

Maisha ni Nyumba Bora

Ongeza Thamani Nyumba yako kupitia Mkopo toka UVIMA SACCOS LTD

Twende zetu Shambani Kumenoga

Lima Parachichi Kibiashara Kupitia Mkopo toka UVIMA SACCOS LTD.

Ufugaji Unalipaa

Fuga Kibiashara Kibiashara Kupitia Mkopo toka UVIMA SACCOS LTD

Twenzetu UVIMA SACCOS Kumenogaaaa...

Wajumbe wa Kamati ya Mikopo

Jackline Mshanga

Afisa Mikopo

Jackline Mwanga

Afisa Mikopo

Jackson Shao

Mwenyekiti wa Kamati

Safinaeli Tarimo

Katibu wa Kamati

Credits:

SACCOS Bora Mkoani Kilimanjaro